Haya.Bible
Kuhusu lugha ya Kihaya
Hii lugha yaitwa pia Ekihaya, Luhaya, Oruhaya, ama pia Ruhaya. Mwaka wa 2013 idadi ya wasemaji wa Kihaya imehesabiwa kuwa watu 1,740,000.
Hii lugha inazungumzwa katika maeneo ya Kagera.
Lugha hii ina vilugha vingine kama Bumbira, Edangabo, Ganda-Kiaka, Hamba, Hangiro (Ihangiro), Kyamutwara (Kiamutwara, Kjamtwara), Mwani, Nyakisisa, Yoza, Ziba (Ekiziba, Kisiba, Kiziba, Luziba, Naziba, Ruziba, Siba), Bugabo (Bugabu), Bukara, Hanja (Kianja, Kihanja, Kjanja), Missenyi (Misenyi), Nabuddu.
Tunatamani mno kuueneza ujumbe wa habari njema ya Biblia nchini kote Tanzania. Naomba uungane nasi.
Get involved
You can get involved in Swahili Bible Projects by contributing:
– Translation skills: if you would like to work with us on a project as a Translator please contact bkirimi@biblesocieties.org
– Donating
– Distributing
More about us
Your prayers and support for our work are greatly appreciated. If you would like to find out more about Bible Societies that do projects for Swahili speakers then please click here:
You can also find out more by visiting these Bible Societies:
https://www.unitedbiblesocieties.org/society/bible-society-of-tanzania/
Contact Us
The Bible Society of Tanzania
P.O BOX 175, Dodoma – Tanzania.
Tel: +255-(026)-2324661
E-mail: info@biblesociety-tanzania.org