Kiiraqw ni mojawapo kati ya lugha za Kiafrika-Kiasia. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiiraqw iko katika kundi la lugha za Kikushi.
Inatumika nchini Tanzania na kuzungumzwa hasa na kabila la Wairaqw kaskazini mwa Tanzania kutokana na kuwepo kwao katika mkoa wa Manyara na mkoa wa Arusha kama wenyeji wa karne nyingi.
Mwaka 2001 idadi ya wasemaji wa Kiiraqw imehesabiwa kuwa watu 462,000.
Tunatamani mno kuueneza ujumbe wa habari njema nchini kote Tanzania. Naomba uungane nasi.