
Kerewe.Bible
Kuhusu Lugha ya Kikerewe
Kikerewe (pia huitwa Kikerebe) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wakerewe. Mwaka wa 1987 idadi ya wasemaji wa Kikerewe imehesabiwa kuwa watu 100,000.
Hii lugha inazungumzwa katika maeneo ya Mwanza, Mara, visiwa vya ziwa Victoria vya Ukerewe na Maisome.
Tunatamani mno kuueneza ujumbe wa habari njema nchini kote Tanzania. Naomba uungane nasi.
Warning: count(): Parameter must be an array or an object that implements Countable in /home3/tanzaelbi/public_html/wp-content/plugins/ubs-bible-reader-scripture/shortcodes/bible-search.php on line 175
Get involved
– Translation skills: if you would like to work with us on a project as a Translator please contact bkirimi@biblesocieties.org
– Donating
– Distributing
More about us
Your prayers and support for our work are greatly appreciated. If you would like to find out more about Bible Societies that do projects for Swahili speakers then please click here:
You can also find out more by visiting these Bible Societies:
https://www.unitedbiblesocieties.org/society/bible-society-of-tanzania/
Contact Us
Chama cha Biblia cha Tanzania
https://biblesociety-tanzania.org
Tel: +255-(026)-2324661
E-mail: info@biblesociety-tanzania.org