Kinga.Bible

Kuhusu Lugha ya Kikinga

Kikinga ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wakinga. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kikinga imehesabiwa kuwa watu 140,000.
Hii lugha inazungumzwa katika maeneo wilaya ya Makete mkoani Njombe.

Tunatamani mno kuueneza ujumbe wa habari njema nchini kote Tanzania. Naomba uungane nasi.

Shiriki nasi

Unaweza kushirikiana nasi katika miradi ya Tafsiri ya Biblia kwa kuchangia:
– Ujuzi wako katika Tafsiri:Kama ungependa kufanya kazi nasi katika mradi wa Tafsiri unaweza kuwasiliana nasi kupitia Meneja Miradi EMail : imwangota@biblesociety-tanzania.org
– Kuchangia Fedha
– Kusambaza Maandiko

Kuhusu sisi

Tunakushukuru kwa Sala zenu na Msaada katika kazi zetu mbalimbali . Ikiwa ungependa kujua zaidi kuhusu Vyama vya Biblia ambavyo hufanya miradi kwa wasemaji wa Kiswahili basi tafadhali bonyeza hapa:

Unaweza kufahamu mengi zaidi kwa kutembelea vyama mbalimbali vya Biblia kupitia:
https://www.unitedbiblesocieties.org/society/bible-society-of-tanzania/

Wasiliana nasi

Chama cha Biblia cha Tanzania

16 Hatibu / 9th Road, Madukani Area
P.O BOX 175, Dodoma -Tanzania

https://biblesociety-tanzania.org

Tel: +255-(026)-2324661
E-mail: info@biblesociety-tanzania.org

 
×

Hello!

Click one of our representatives below to chat on WhatsApp or send us an email to support@biblesociety-tanzania.org

× How can I help you?