Kimakonde ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania na Msumbiji inayozungumzwa na Wamakonde. Mwaka wa 2013 idadi ya wasemaji wa Kimakonde nchini Tanzania imehesabiwa kuwa watu 1,320,000.
Hii lugha inazungumzwa katika maeneo ya Mtwara,wilaya ya Tandahimba, na Newala.
Tunatamani mno kuueneza ujumbe wa habari njema nchini kote Tanzania. Naomba uungane nasi.