Kuhusu Lugha ya Chasu

Chasu(pia huitwa Kipare) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wapare. Mwaka wa 2009 idadi ya wasemaji wa Chasu imehesabiwa kuwa watu 530,000.
Hii lugha inazungumzwa katika maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro katika Milima ya Upare wilaya Mwanga na Same.

Tunatamani mno kuueneza ujumbe wa habari njema nchini kote Tanzania. Naomba uungane nasi.

Shiriki Nasi

Unaweza kushirikiana nasi katika miradi ya Tafsiri ya Biblia kwa kuchangia:
– Ujuzi wako katika Tafsiri:Kama ungependa kufanya kazi nasi katika mradi wa Tafsiri unaweza kuwasiliana nasi kupitia Meneja Miradi EMail : imwangota@biblesociety-tanzania.org
– Kuchangia Fedha
– Kusambaza Maandiko

Kuhusu sisi

Tunakushukuru kwa Sala zenu na Msaada katika kazi zetu mbalimbali . Ikiwa ungependa kujua zaidi kuhusu Vyama vya Biblia ambavyo hufanya miradi kwa wasemaji wa Kiswahili basi tafadhali bonyeza hapa:

Unaweza kufahamu mengi zaidi kwa kutembelea vyama mbalimbali vya Biblia kupitia:
https://www.unitedbiblesocieties.org/society/bible-society-of-tanzania/

Wasiliana nasi

Chama Cha Biblia Cha Tanzania

16 Hatibu / 9th Road, Madukani Area.

P. O BOX 175, Dodoma – Tanzamia.

Tel: +255-(026)-2324661
E-mail: info@biblesociety-tanzania.org

×

Hello!

Click one of our representatives below to chat on WhatsApp or send us an email to support@biblesociety-tanzania.org

× How can I help you?