
Asu.Bible
Kuhusu Lugha ya Chasu
Chasu(pia huitwa Kipare) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wapare. Mwaka wa 2009 idadi ya wasemaji wa Chasu imehesabiwa kuwa watu 530,000.
Hii lugha inazungumzwa katika maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro katika Milima ya Upare wilaya Mwanga na Same.
Tunatamani mno kuueneza ujumbe wa habari njema nchini kote Tanzania. Naomba uungane nasi.
Shiriki Nasi
– Ujuzi wako katika Tafsiri:Kama ungependa kufanya kazi nasi katika mradi wa Tafsiri unaweza kuwasiliana nasi kupitia Meneja Miradi EMail : imwangota@biblesociety-tanzania.org
– Kuchangia Fedha
– Kusambaza Maandiko
Kuhusu sisi
Tunakushukuru kwa Sala zenu na Msaada katika kazi zetu mbalimbali . Ikiwa ungependa kujua zaidi kuhusu Vyama vya Biblia ambavyo hufanya miradi kwa wasemaji wa Kiswahili basi tafadhali bonyeza hapa:
Unaweza kufahamu mengi zaidi kwa kutembelea vyama mbalimbali vya Biblia kupitia:
https://www.unitedbiblesocieties.org/society/bible-society-of-tanzania/
Wasiliana nasi
Chama Cha Biblia Cha Tanzania
P. O BOX 175, Dodoma – Tanzamia.
Tel: +255-(026)-2324661
E-mail: info@biblesociety-tanzania.org